Following the ‘snub’ of once of the highly anticipated event’s in voi’s showbiz history, we manage to get a sneak preview into Aslays, press note featuring an apology to voi fan’s who had expected him on the Event set for 16the Nov! Here is a snippet
Hamjambo……
…ndugu wenzangu kutoka nchi jirani Kenya. Najua mioyo yenu imejaa uchungu kwa kitendo Kilichotokea na kusababisha mimi kutofika kwa burudani niliyokuwa nimealikwa. Naomba mniwie radhi kwa kuwa nimewakwaza nyote. Najua itakuwa kazi ngumu kwenu kunipa radhi bila hata kujua chochote kilichofany kutofika kwa event yenu. Matukio mengi yalitokea katika tour yangu ya Kenya kilichosababisha kutofika kwangu hasa event ya juzi voi…. Muda huu umekuwa mgumu kwangu mno lakini haikuwa haki kukosa kutekeleza kilicho nileta huku. Naeza wapa sababu tofauti lakini najua kwa uchungu mlio nao itakuwa vyema kuachia kwa kuomba msamaha. Pesa zote ambazo nililipwa kabla ya eventi na waahidi ya kwamba nitarudisha ili nami nisipate laana kutoka kwenu na mwenyezi Mungu. Kwa mara ya mwisho na wasihii sana mniwie radhi haikuwa mapendekezo yangu hata kamwe. Mungu awajalie Baraka. …..
@Aslaysihaka | instagram
The above also follows, various cancellations of other shows lined in the super stars tour.
Sofapaka Football Club can confirm the signing of Benard Muiruri Gichuki. Benard was among three…
Once again, the Ningoje Bakri artist Subiri Jay has released a new song called Soma.…
Following the rising cases of teen pregnancies in Taita Taveta county, veteran songbird Nyota Ndogo…
Reopening of school is one of the most hectic events I have had to experience…
Homegrown comedian talent Rashid Abdalla aka Director Rashid, proposed to his longtime girlfriend and comedian…
Looking back on last Sunday I must confess it was a good day, not that…
This website uses cookies.
Leave a Comment